Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa Cuf, atuma ujumbe mzito kwa serikali ya Dr. Shein na ccm
CCM acheni uwoga, niwaambie tu kwamba katika serikali ya umoja wa kitaifa itakayoongozwa na Maalim Seif Zanzibar mutapata nafasi nanyinyi kwasababu ni serikali ya umoja wa kitaifa , hatutowabagua, wala hatutolipiza kisasi, bali tutafanya kazi ondoeni hofu,na kwamba nikiingia serikalini sitoondoka tena sikweli,hayo ni maamuzi ya wananchi wenyewe katika misingi ya kidemokrasia"
"Manusura ya Zanzibar ni serikali kuongozwa na CUF,hivyo jiandaeni kukunja virago"
Maalim Seif 02/04/2018
Wilaya ya kusini Unguja
ameyasema hayo katika mwendelezo wa ziara yake ya kichama mjini Unguja, Zanzibar.
"Manusura ya Zanzibar ni serikali kuongozwa na CUF,hivyo jiandaeni kukunja virago"
Maalim Seif 02/04/2018
Wilaya ya kusini Unguja
ameyasema hayo katika mwendelezo wa ziara yake ya kichama mjini Unguja, Zanzibar.
Hakuna maoni