Recent Posts

Breaking News

ASKOFU PENGO KUPOTEZA UASKOFU


Kutokuwepo kwa Askofu wa Jimbo kwenye kanisa ambalo Mh. Rais alishiriki ibada ya pasaka, (St Joseph)na misa hiyo kuongozwa.


na paroko ambaye ni kiongozi wa chini kabisa, kumezua mjadala mkubwa miongoni mwa jamii na huku kukiusishwa na msimamo wa maaskofu kupitia waraka wao walio utoa hivi karibuni.

mjadala huo umeshika kasi kubwa, baada ya mwanadada maarufu Tanzania,(Mange Kimambi) kuleta habari za uwepo wa habari za kuhojiwa kwa Askofu Pengo na mamlaka za Vatcan ambayo ndio msimamizi wa kanisa Katoliki Duniani. 

Mange amesema katika kurasa zake kwamba...kadinali Pengo amehojiwa na Vatican wiki hii iliyokwisha akiulizwa ni kwanini kaenda kinyume na maaskofu wenzie na kuwadhalilisha hadharani? Pengo yupo kwenye hot seat sasa hivi ndo maana jana ameshindwa kumsalisha Mhutu ikabidi Mhutu aaibike asalishwe na paroko msaidizi. Nchi nzima hakuna askofu hata mmmoja aliekubali kusalisha misa aliyokwenda Mhutu...
.
.
Na nasikia Kadinali Pengo ametakiwa na Vatican kujiuzulu ukadinali. Kwahiyo siku yoyote kuanzia sasa Pengo anavuliwa ukadinali..

waraka wa maaskofu wa kanisa la katoliki na ule wa makanisa ya walutheri, umeendelea kuwa gunzo na mjadala mkubwa huku watanzania wakizidi kuwasihi viongozi wa kisiasa kuutafakari kwa maslai ya Taifa badala ya kuukejeli kabla yamadhara husika hayajatokea.


Hakuna maoni